Magonjwa ya mlipuko sio kitu kigeni yamekuwepo kwa muda mrefu lakini huu ugonjwa wa Corona umekuwa hatarishi kuliko ugonjwa mwingine ule wa ...
![]() |
Nostradamus ambaye alikuwa Mfaransa mwenye asili ya kiyahudi anaaminika kutabiri matukio mengi ambayo yametokea mpaka sasa kupitia mashairi.Unaweza ukashangaa sana jinsi utabiri wake ulivyofanana na utabiri ambao upo katika riwaya ya coronavirus. Katika kitabu cha ushairi cha Les Prophéties alichokiandika mwaka 1555.Katika kitabu hicho alitabiri juu ya corona,katika kitabu hicho anaandika
"There will be a twin year (2020) from whicch will arise a queen(Corona) who will come from east(China) and who will spread a plague (Virus) in the darkness of night,on a country with 7 hills (Italy) and will transform the twilight of men into dust (death) .to destroy and ruin the world.It will be the end of the world economy as you know it"
Alimaanisha, "Kutakuwa na mwaka pacha (2020) ambao atatokea malkia (Corona) atatoka mashariki (Uchina) na atasambaza janga (Virus) kwenye giza la usiku, kwenye nchi yenye milima 7 (Italia ) na itabadilisha jioni ya wanadamu kuwa vumbi (kifo) na kuharibu ulimwengu.Huo utakuwa mwisho wa uchumi wa dunia kama unavyojua "
4.CONTAGION directed by Steven Soderbergh
Filamu hii iliyoandikwa na Scott Burns na kuongozwa na Steven Soderbergh ina visa vinavyoendana na ugonjwa wa mlipuko wa corona.Katika filamu hii kirus kiitwacho MEV-1 hops kilichotoka kwenye popo na baadae kubainika kwenye nguruwe na hatimae kumfikia binadamu katika mazingira ya huko Hongkong China.
Kutokana na kisa hicho kuna mfanano na virusi vya corona ambapo wanasayansi walivotafiti,walibaini kuwa virusi hivyo vinapatikana kwenye popo.Katika filamu hii ugonjwa huu unaathiri wengi kama Corona.
Asante kwa kusoma. MAKALA IJAYO IHUSU NINI?
Acha maoni yako hapo chini
Kaka makala nzuri Sana nimepata kitu kipya
ReplyDeletetuko pamoja mkuu
Delete